100% found this document useful (2 votes)
2K views3 pages

Historia Na Maadili Ya Tanzania

This is the exam for the history of Tanzania

Uploaded by

Switbert Kelvin
Copyright
© © All Rights Reserved
We take content rights seriously. If you suspect this is your content, claim it here.
Available Formats
Download as DOCX, PDF, TXT or read online on Scribd
100% found this document useful (2 votes)
2K views3 pages

Historia Na Maadili Ya Tanzania

This is the exam for the history of Tanzania

Uploaded by

Switbert Kelvin
Copyright
© © All Rights Reserved
We take content rights seriously. If you suspect this is your content, claim it here.
Available Formats
Download as DOCX, PDF, TXT or read online on Scribd
You are on page 1/ 3

Jina la Mwanafunzi …………………………………………………..

HALMASHAURI YA WILAYA YA CHEMBA


MTIHANI WA ROBO MUHULA WA PILI
HISTORIA NA MAADILI YA TANZANIA- DARASA LA III AGOSTI, 2024

1. Chagua herufi ya jibu sahihi


[i] Nini maana ya historia ya Historia ya Tanzania
[a] matukio ya sasa b] Matukio yaliyo wahi kutokea Tanzania [c] watu wa zamani [d] michoro ya
mapangoni
ii. vifuatavyo ni vitendo vya kimaadili isipokuwa tendo moja ambalo ni_______________
[a] kusaidia wazee [b]kusalimiana [c] kuheshimu watu wazima [d]kupigana
iii. Historia ya Tanzania imegawanyika katika nyakati tatu tofauti ambazo ni___________
[a] kabla ya ukoloni, wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni
[b] wakati wa uhuru, baada ya uhuru na sasa [c]wakati wa ukoloni,baada ya uhuru na sasa
[d] wakati wa ukoloni na sasa
[iv] Maadili ni_____unaotambulika katika jamii
[a] mwenendo na utendaji [b] michezo [c] maigizo [d] uongozi
2. Bainisha wajibu na haki katika jedwali lifuatalo kwa kuweka alama ya vema sehemu
inayo stahili

Haki Wajibu
[i] kupendwa
[ii] kusoma kwa bidii
[iii] kucheza
[iv] kutii sharia za shule
[v] kupatiwa jina zuri

3.Tumia maneno yafuatayo kujaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kuchagua herufi ya jibu
sahihi katika kisanduku

[A] Kuheshimu wengine [B] Kutii sharia [C] Kujitathimini [D] Kuwajali wengine [E] Kujituma
[F] Kujiajiri
[i] kupiga mswaki____________
[ii] Kufanya kazi bila kusimamiwa ______________
[iii] Kuogesha wadogo zetu_________________
[iv] Kuwahi shule_________________
[v] kuwasaidia wazee na wasiyojiweza _______________
Jina la Mwanafunzi …………………………………………………..

4. OANISHA ORODHA A NA B ILIKUPATA MAANA ILIYOKUSUDIWA

ORODHA A ORODHA B
[i] Maeneo ya mabwawa, mito na bahari [a] Wazee watoto na wagonjwa
[ii] Maarifa na ujuzi wa asili katika ufugaji [b] Uvivu
[iii] Maarifa na ujuzi wa asili uliotumiwa [c] Miiko
kutunza mazingira
[iv] Watu walio ruhusiwa kukaa bila [d] Majani, magome ya miti, na mizizi
kufanya kazi
[v] Vitu walivyotumia watu wa zamani [e] Dawa za kisasa
kutengeneza dawa
[f] Matunda

5. Andika NDIYO kwa sentensi sahihi na HAPANA kwa sentensi isiyo sahihi
[i] Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulifanyika tarehe 26 April 1964 _______

[ii] Zamani maarifa na ujuzi wa asili ulirithishwa kwa njia ya Nadharia na Vitendo ________
[iii] Mlima mrefu kuliko yote barani Afrika ambao ni urithi wetu wa asili unaitwa

KILIMANJARO____

[iv] Fuvu la binadamu anayeaminika kuishi miaka mingi Zaidi,liligunduliwa na Dr Luis Leaker

mwaka 1959 katika bonde la Oduvai ______________

[v] Ziwa Tanganyika ni urithi wa asili unaopatikana hapa Tanzania ambalo ni Ziwa lenye

kina kirefu zaidi _______________


Jina la Mwanafunzi …………………………………………………..

MAJIBU YA HISTORIA
1. i) B
ii) D
iii) A
iv) A
v) C
2. i) Haki
ii) wajibu
iii) Haki
iv) wajibu
v) Haki
3. i) C
ii) E
iii) A
iv) B
v) D
4. i) B
ii) F
iii) C
iv) A
v) D
5. (i) NDIYO
ii) NDIYO
iii) NDIYO
iv) NDIYO
v) HAPANA

You might also like